16 Juni 2025 - 16:14
Mkutano mkubwa katika Seminari ya Qom kufanyika katika kuunga mkono vikosi vya jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Mkusanyiko mkubwa wa Seminari (Hawza) ya Qom umelaani utawala haram wa Kizayuni utafanyika katika Seminari ya Faiziyah.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA-, Mkusanyiko mkubwa wa Seminari ya Qom kwa ajili ya kulaani utawala haram wa Kizayuni na uungaji mkono kwa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran utafanyika kesho Jumanne, Juni 17, saa 4:30 asubuhi.

Mahali pa mkutano huu ni Seminari ya Faiziyah, na wanafunzi wa kiume na wa kike watahudhuria mkusanyiko huo.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha